Thursday, September 29, 2011

NAFASI ZA KAZI

                         MAMBO  MEDIA  CENTRE


Mambo  Media  Centre  ni  kampuni  mpya  inayojishughulisha  na  masuala  ya   utoaji  wa  habari  mbalimbali, kuanzia  habari  za   michezo, burudani, siasa, uchumi  hadi  habari  za  uchunguzi..  Tunatangaza  nafasi  za  kazi   ya  uandishi, utafutaji  na  usomaji  habari  kwa  waombaji  wenye  sifa  zifuatazo.

1. Umri  miaka  18  hadi  30.
2. Awe na  elimu  ya  kuanzia  kidato  cha  nne, sita  na  kuendelea.
3. Akiwa  na  elimu  ya  ziada  inayohusiana  na  masuala  ya  habari, itakuwa  ni  added  advantage  kwake.
4..Awe  na  uwezo  wa  kuzungumza  na  kuandika  kwa  ufasaha  lugha  za  kiswahili  na  kiingereza.
5. Awe  maridadi, mtanashati  na  anayejiamini..
6. Awe  tayari  kufanya  kazi  katika  mazingira  magumu.

Usaili, utafanyika   tarehe   05.OKTOBA  2011,  katika  ofisi  zetu  zilizopo  eneo  la  Changanyikeni  karibu  na  Chuo  cha  Takwimu  kuanzia  saa  tatu  kamili  asubuhi.

KWA  MAELEZO  ZAIDI  WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA

                      0767010756   AU  0787010756